HATIFUNGANI ZA BONGO
Overview
Reviews (1)
Comments
Creator
Rafiki Mpendwa…
Baada ya kusoma ujumbe huu mpaka mwisho—utaenda kugundua
.
Shortcut ya Uhakika itakayokutoa milele kwenye mateso ya kupoteza thamani ya pesa zako kupitia mifumo ya benki inayokupunja:
.
—Kupoteza nguvu ya pesa yako kila siku
.
—Kuliwa na mfumuko wa bei
.
—Kuwekewa riba ndogo ya aibu ya 3%
.
—Kufanya kazi kwa bidii huku benki zikizungusha pesa zako kujitajirisha
.
…hata kama umeshajaribu kila aina ya Biashara na ukashindwa au huna uzoefu wowote wa uwekezaji!
.
Kama Umeambiwa Kuwa Njia Pekee ya Kulinda Mtaji Wako na Kujenga Utajiri ni Kuweka Akiba Benki:
.
Au Kukimbilia Biashara Zenye Risk Kubwa Basi...
.
. UMEDANGANYWA
.
Kwani ripoti ya mjasiriamali bilionea "Tony Elumelu" kutoka Lagos, Nigeria anasema:
.
“Matajiri hawatumii pesa zao kutengeneza utajiri,
.
Wanatumia pesa za watu wengine (OPM - Other People's Money)!”
.
Uzuri wa kutumia mbinu ya hii unayoenda kuiona ndani ya sekunde 60 zijazo ni kwamba:
—Huhitaji kumiliki magorofa wala nyumba za kupangisha ili upokee kodi
.
—Huhitaji kuacha kazi yako ya sasa au kupambana na biashara za stress zinazofilisika
.
Huhitaji kuwa na mabilioni ya kuanzia ili uanze kunufaika
.
—Huhitaji stress za kusimamia wafanyakazi au kusubiri miaka mingi bila mzunguko wa fedha
.
Badala yake, unachotakiwa kufanya ni kufuatisha mtiririko wa maelekezo yaliyoweka kwenye hii Ebook
.
Halafu kwaheri:
.
—Umaskini wa taratibu unaosababishwa na kuacha pesa benki
.
—Mfumuko wa bei wa 4-5% unaokula mtaji wako kimyakimya
.
—Riba ndogo za 3% huku benki zikitumia pesa hizo kupata hadi 15%
.
—Hofu ya kesho na kukosa kipato endelevu
.
Je, Upo Tayari Kuanza Kupokea ‘Kodi’ Yako Kila Mwezi Kupitia Hatifungani Ndani Ya Siku 30 Zijazo?
.
Kama jibu lako ni NDIO, basi usipoteze hata sekunde moja.
Baada ya kusoma ujumbe huu mpaka mwisho—utaenda kugundua
.
Shortcut ya Uhakika itakayokutoa milele kwenye mateso ya kupoteza thamani ya pesa zako kupitia mifumo ya benki inayokupunja:
.
—Kupoteza nguvu ya pesa yako kila siku
.
—Kuliwa na mfumuko wa bei
.
—Kuwekewa riba ndogo ya aibu ya 3%
.
—Kufanya kazi kwa bidii huku benki zikizungusha pesa zako kujitajirisha
.
…hata kama umeshajaribu kila aina ya Biashara na ukashindwa au huna uzoefu wowote wa uwekezaji!
.
Kama Umeambiwa Kuwa Njia Pekee ya Kulinda Mtaji Wako na Kujenga Utajiri ni Kuweka Akiba Benki:
.
Au Kukimbilia Biashara Zenye Risk Kubwa Basi...
.
. UMEDANGANYWA
.
Kwani ripoti ya mjasiriamali bilionea "Tony Elumelu" kutoka Lagos, Nigeria anasema:
.
“Matajiri hawatumii pesa zao kutengeneza utajiri,
.
Wanatumia pesa za watu wengine (OPM - Other People's Money)!”
.
Uzuri wa kutumia mbinu ya hii unayoenda kuiona ndani ya sekunde 60 zijazo ni kwamba:
—Huhitaji kumiliki magorofa wala nyumba za kupangisha ili upokee kodi
.
—Huhitaji kuacha kazi yako ya sasa au kupambana na biashara za stress zinazofilisika
.
Huhitaji kuwa na mabilioni ya kuanzia ili uanze kunufaika
.
—Huhitaji stress za kusimamia wafanyakazi au kusubiri miaka mingi bila mzunguko wa fedha
.
Badala yake, unachotakiwa kufanya ni kufuatisha mtiririko wa maelekezo yaliyoweka kwenye hii Ebook
.
Halafu kwaheri:
.
—Umaskini wa taratibu unaosababishwa na kuacha pesa benki
.
—Mfumuko wa bei wa 4-5% unaokula mtaji wako kimyakimya
.
—Riba ndogo za 3% huku benki zikitumia pesa hizo kupata hadi 15%
.
—Hofu ya kesho na kukosa kipato endelevu
.
Je, Upo Tayari Kuanza Kupokea ‘Kodi’ Yako Kila Mwezi Kupitia Hatifungani Ndani Ya Siku 30 Zijazo?
.
Kama jibu lako ni NDIO, basi usipoteze hata sekunde moja.
Customer Reviews
Mar 17, 2026
.
Community Comments
Please log in to leave a comment.
Loading comments...